Saturday 21 October 2017

ZITO KABWE ASEMA MWANACHAMA AMBAE SAFARI IMEMSHINDA ASHUKE MWENYEWE.

Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Zitto kabwe, amekaa mbele ya waandishi wa habari kufafanua mambo mbalimbali ikiwemo ishu ya kujivua unachama kwa aliyekuwa mwenyekiti wa kamati ya kampeni na uchaguzi Samsoni Mwigamba.
Tizama video hapo chini juu ya kile alicholizungumza Zitto Kabwe.

0 comments:

Post a Comment