This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Saturday, 28 April 2012

AJALI YA BASI LA COAST LINE

Hili ni basi la Coast line ambalo limepata ajali siku ya leo Juma mosi asubuhi katika kijiji cha Terrat kilichopo wilayani Sianjiro Mkoani Manyara. Basi hilo lilikuwa likitokea Mkoani Arusha likieleke Mkoania Dodoma,na ndipo lilipopata na ajali hiyo katika eneo la kijiji hicho baaada ya STALING kukatika na kusababaisha kuugonga mti uliokuwa kando ya bara bara hiyo na kupelea tairi za mbele zote 2 kupasuka. Basi hilo limeharibika vibaya sehemu...

Wednesday, 25 April 2012

KWA NINI VIUMBE WENGI WANA MACHO MAWILI

Nilikuwa natafakari juu ya uumbaji na kushangazwa na kitu kimoja cha ajabu; viumbe vingi hata vinavyoishi mazingira tofauti na vya aina (specie) tofauti sana vimefanana kwa kuwa na macho. Vinaweza vyote visiwe na miguu, mbawa, au pua lakini karibu vyote vina macho. Kuanzia majini, angani na nchi kavu viumbe vingi vinamacho! Wadudu wadogo na wanyama wakubwa wote wana macho; samaki na ndege hadi minyoo ina macho! Na katika maajabu ndani ya maajabu...

Monday, 23 April 2012

NJIA KUMI KUSAIDIA KUPUNGUZA UNENE..

Kati ya sababu kuu zinazopunguza uhai wetu ni afya, unene na kutojua kujiangalia vyema.   1-ULAJI Ipo mifumo miwili ya kula. Chakula unachokula na namna unavyokila. Unavyokula. Kuna kula vyakula vidogo vidogo vyenye madini, vitamini, mafuta nk mara nyingi kwa siku; au kula milo michache (mmoja au miwili) mikubwa ili kujaza tumbo. Ulaji mdogo mdogo husaidia afya na kuingia mwilini vyema kuliko ulaji mkubwa wa mara chache. Tumbo lina musuli...

Zijue faida za ajabu za kula karanga..!

Wengi wetu huchukulia ulaji wa karanga kama chakula cha kujiburudisha na kisichokuwa na umuhimu sana katika afya ya mwili wa binadamu. Kiukweli karanga siyo chakula cha kupuuziwa iwapo utajua faida zake kama nitakavyokujuza leo katika makala haya.MAGONJWA YA MOYO.... Kama ilivyokuwa kwa korosho, karanga nazo ni chanzo kizuri cha mafuta mazuri aina ya ‘monounsaturated fats’ ambayo yanatiliwa mkazo kutumiwa kwa afya ya moyo. Kwa mujibu wa utafiti,...

HIZI HAPA HASARA NA FAIDA ZA KULA NYAMA

Kuna mjadala wa muda mrefu kuhusu suala la nyama nyekundu, ambapo makundi mawili tofauti yamekuwa yakitoleana hoja kuhusu faida na madhara ya kula nyama, hasa ile nyama iliyowekwa katika kundi la ‘nyama nyekundu’ (red meat).Wakati wakereketwa wa masuala ya afya wanasema kuwa nyama nyekundu huchangia hatari ya mtu kupata ugonjwa wa moyo na saratani ya tumbo, wadau wa nyama wanadai kuwa hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya saratani, ugonjwa wa...

Wednesday, 18 April 2012

Tambua madhara ya kunywa Soda

Kuna mjadala mkali unaendelea kuhusu vinywaji baridi hususani soda, baada ya utafiti wa hivi karibuni kuonyesha kuwa soda inaweza kuwa na madhara zaidi kiafya kuliko hata sigara!Hii inaweza kuwa changamoto nyingine kubwa kumkabili binadamu katika masuala ya afya, kwani makampuni makubwa yanayotengeneza vinywaji baridi yanatumia mabilioni ya dola kila mwaka,kujitangaza na kutoa misaada ya kijamii kutokana na mauzo yake bila kutaja madhara ya vinywaji...

Uvutaji wa sigara katika ndoa:

Wake au waume wa wanandoa ambao wanavuta sigara wamekuwa na wakati mgumu sana katika hisia zao,hasa kutokana na tabia ya kuvuta sigara kwa hao partners wao. Hisia huweza kuwa ni za hofu, mashaka na kujisikia kutothaminiwa au kuwa disappointed na hata kuumizwa na hiyo tabia. Wapo partners ambao hutafsiri kwamba kitendo cha kutoacha kuvuta sigara,ni kuonesha kutojali afya yake mvutaji na familia kwa ujumla yaani...

Tuesday, 17 April 2012

Faida ya ndizi mbivu katika mwili wa binadamu

Ni kinga dhidi ya magonjwa ya moyo, presha, vidonda vya tumbo, saratani ya figo, kukosa choo Ndizi mbivu ni tunda ambalo linafahamika na kila mtu, lakini sina hakika kama watu wengi wanafahamu umuhimu na faida za tunda hili ambalo linapatikana kirahisi sana nchini. Bei yake ni kati ya shilingi 50 na 150 tu, kiwango cha pesa ambacho kila mtu anaweza kukimudu.Iwapo ulikuwa hujui umuhimu wa kula ndizi mbivu, leo utalazimika kubadili mtizamo wako na...

Umuhimu wa matumizi ya chumvi kwa Binadamu

CHUMVI ni aina ya madini yenye umuhimu na faida nyingi, kwa mtumiaji, ikiwa atatumia kwa kiasi kinachotakiwa kwenye mlo wake. Kwa maisha ya kawaida, huwezi kukosa madini hayo au kiungo hicho kwenye familia mbalimbali, mara nyingi utaikuta jikoni au hata mezani. Chumvi pamoja na muonekano wake ni kiungo au madini ambayo hupatikana kwa urahisi na bei nafuu kuliko viungo vingine vya chakula au madini duniani. Pamoja na umuhimu wake, lakini si rahisi ukasikia kesi au masuala ya chumvi kuibwa kama zilivyo bidhaa nyingine kwenye maduka...

JIWE LA MSINGI LA KWANZA=KIWA

                KIWA STRONG- Knowledge Inteligent With Action=KIWA Katika maisha siku zote ni kutokukata tamaa katika jambo unalolifanya,hiyo ndiyo siri ya mafanikio sababu yoyote unayemwona ana mafanikio basi kuna vikwazo amevipitia lakini hakukata tamaa. Na wewe pia hali uliyonayo  ni zamu yako kuonyesha ujasiri wako juu ya mikwamo unayokutana nayo katika maisha. ...

Sababu ya kupoteza Nywele-Kichwani a.k.a UPARA

Tafiti kusema kwamba moja ya mambo ya kwamba kufanya watu kupoteza imani yao ni kupoteza nywele. Hii ni kwa sababu watu wengi hawawezi kuwa na uhakika mbele na hata karibu na watu wengine kujua kuwa watu hawa ni wazi staring katika matangazo yake bald. Wataalam wanasema kwamba nywele hasara au upaa inaweza kuepukika kwa watu hasa kama familia zao na historia yake. Watu hawa, jeni ambaye...