Tuesday 17 April 2012

MKALI WA MICHANO 2012 HUYU HAPA-RYMS OF MAGIC ACTION=R.O.M.A




Kulia ni Msanii Profesa Jay na kushoto ni Mkubwa Fella meneja wa kundi la TMK Family wakimkabidhi tuzo Roma ''Mpare wa milimani'' Msanii wa muziki wa Hiphop aliyejishindia tuzo ya msanii bora wa Hiphop.

0 comments:

Post a Comment