Jana nilikuwa
na story inayohusu bangi, ambapo wapiga kura katika jimbo la Ohio nchini
Marekani, wamekataa pendekezo la kuhalalisha matumizi ya bangi katika jimbo
hilo.
Hata hivyo kauli hiyo itafanya
kazi wa kikundi hicho chenye watu wanne pekee, ambao waliokwenda mahakamani
pekee yao kudai haki hiyo.
Wataalamu wanasema kuwa amri hiyo
huenda ikafungua milango, itakayoruhusu na kuhalalishwa matumizi ya bangi siku
zijazo.
Rais wa Mexico Enrique Pena Nieto amesema kuwa, amri hiyo
inazua mjadala kuhusu njia za kudhibiti matumizi na usambazaji wa madawa ya
kulevya.
Wanaharakati wanasema kuwa
kushindwa kwa Mexico kuhalalisha matumizi ya bangi, ndiko kulikowawezesha
walanguzi wa mihadarati kukolea katika biashara hiyo, na kujivunia mabilioni ya
fedha katika faida.
0 comments:
Post a Comment