Mji
mmoja wa Uturuki uliokaribu na mpaka wa Syria, umeshuhudia ongezeko la talaka
katika muda wa mwaka mmoja.
Mawakili katika mji huo wa
Sanliurfa wanasema kuwa,idadi kubwa ya kesi za talaka ni kutokana na wanaume
kuchumbia wakimbizi wa kike kutoka Syria.
Licha ya kuwa ni kinyume cha
sheria kuoa zaidi ya mke mmoja nchini Uturuki, baadhi ya wanaume katika maeneo
ya waarabu na Wakurdi,hufuata utamaduni wa kuoa wake wengi.
0 comments:
Post a Comment