Wanasayansi
wa Uingereza wanapanga kuchimba chini kabisa ya ardhi katika bahari Hindi.
Lengo ni kufika chini zaidi ya
tabaka za juu za ardhi, kwa mara ya kwanza.
Wanataka kuchunguza udogo kutoka ndani ya ardhi, na
kuthibitisha yale yanayojulikana kuhusu umbo la ardhi.
Shughuli hizo zitachunguza iwapo
kuna viumbe hai ndani zaidi ya ardhi kushinda vile vinavyojulikana.
Zimefanywa juhudi mara kadha kuchimba ndani ya zaidi ya
tabaka za juu za ardhi, lakini hazikufanikiwa.
Hata hivyo wataaalamu wa wanaohusika
na maswala ya sayansi, wanasema kuchimba ardhi kina cha kilomita 5 chini ya
bahari ni kazi kubwa, na hadi sasa teknolojia imeshindwa.
0 comments:
Post a Comment