Kabala ya kutaja majina ya mawazairi waliopo katika baraza lake, Rais Magufuli ameagiza fedha zilizotengwa kwa ajili ya semina elekezi kwa mawaziri hao, zielekezwe kwajili ya matumizi mengine.
Baraza
hilo jipya la Rais magufuli limetawaliwa na sura ngeni nyingi huku mawaziri wa
zamani waliofanikiwa kurejea wakiwa saba tu.
Msikie Rais Dr
John Pombe Magufuli alipokuwa akilitaja baraza hilo,Bonyeza Play hapa chini kumsikiliza.
0 comments:
Post a Comment