This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Wednesday, 17 June 2015

Raia Nigeria wapinga posho za wabunge…!!!


Wananchi wa Nigeria wamechukizwa na taarifa kwamba wabunge wamejiidhinishia mamilioni ya dola kwa ajili ya posho ikiwemo ya mavazi.

Tuesday, 16 June 2015

Kiongozi wa Al Qaeda nchini Yemen auawa…!!

Kiongozi wa Al Qaeda nchini Yemen auawa
Tawi la kundi la Al Qaeda nchini Yemen limethibitisha kuuawa kwa kiongozi wake wakati wa shambulizi la ndege isiyokuwa na rubani ya Marekani.

Askofu kushtakiwa kwa kudhulumu watoto…!!!

Askofu Josef Weslowski kushtakiwa kwa kudhulumu watoto

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, ameonekana kuanza kuwakabili makasisi waliotuhumiwa kwa sakata ya ngono.

Unafahamu kwa nini kuna siku ya mtoto wa Africa…!!!



Tarehe 16 Juni ya kila mwaka Tanzania huungana na Nchi nyingine za Afrika kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika.

Monday, 15 June 2015

Kasisi basha aishtaki kanisa kumbagua…!!!

Kasisi basha aishtaki kanisa kumbagua

Kasisi mmoja ambaye alinyimwa leseni ya kufanya kazi kama mhudumu katika zahanati ya afya kwa misingi ya kuwa katika ndoa ya jinsia moja,amelishtaki kanisa kwa kumbagua.

Sikiliza Antenna show ya radio 5 hapa.!!

Hii show inakwenda hewani kila siku za juma tatu mpaka ijuumaa saa kumi jioni mpaka kumi na mbili na nusu jioni.Bonyeza play hapa chini kuisikiliza show iliyoruka Tar 10-6-2015.

Wapenzi wakongwe zaidi duniani waoana…!!!

Mwanaume mmoja Muingereza mwenye umri wa miaka 103 ameingia katika daftari za historia kwa kuwa bwana harusi mkongwe zaidi duniani.

Friday, 12 June 2015

Mkurugenzi mkuu wa Twitter kujiuzulu...!!!

Mkurugenzi mkuu wa Twitter, Dick Costolo, ana nia ya kujiuzulu ifikapo mwisho wa mwezi huu wa Juni, kufuatia shinikizo kutoka kwa wawekezaji, ambao wanalalamikia ukuaji polepole wa mtandao huo wa kijamii.

Siku ya Albino kuazimishwa duniani kwa mara ya kwanza June 13-2015....

Ikiwa kesho ni maadhimisho ya kwanza kabisa ya siku ya kuhamasisha jamii kuhusu haki ya watu wenye ulemavu wa ngozi Albino, kamishna Mkuu wa haki za binadamu kwenye Umoja wa Mataifa Zeid Ra'ad Al Hussein,amesema ni fursa ya kutambua vipaji adhimu walivyo navyo kundi hilo.

Akosa taji la urembo kwa picha za uchi...!!


Malkia wa urembo Zimbabwe
Kwa mara ya pili mfululizo waandalizi wa shindano la malkia wa urembo nchini Zimbabwe wametupilia

Aliye pandikizwa uume,baba mtarajiwa…..!!



 
Daktari wa usapuaji nchini Afrika Kusini amethibitisha kwamba mwanamme wa kwanza aliyepandikizwa uume atakuwa baba hivi karibuni.

Gari linalohisi mashimo barabarani...!


Mashimo barabaran

 Watafiti wa gari aina ya Landrover Jaguar wametengeza gari ambalo linaweza kuhisi mashimo yalio barabarani wakati linapoendeshwa.Sensa zilizopo katika gari hilo hubaini mashimo hayo na hutuma ujumbe wa data hiyo kwa haraka kwa madereva na mamlaka ya eneo hilo.

Wednesday, 10 June 2015

CCM yamsajili wa darasa la saba kugombea urais..!!!



 
Makada watatu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwamo wa darasa la saba, jana walijitokeza kuchukua fomu kwa ajili ya kuomba kuteuliwa na chama hicho wagombee urais.

Mtoto azaliwa kutokana na mayai yaliyohifadhiwa kwenye Jokofuu!!!


Mayai ya mwanamke yanapokutana na mbegu ya kiume

Mwanamke mmoja nchini Ubelgiji amekuwa wa kwanza duniani,kujifungua mtoto kwa kutumia upandikizaji wa mayai ya mwanamke yaliowekwa katika jokovu alipokuwa mtoto.

Watawa wakwama ndani ya lifti kwa siku 3…



 
Watawa wawili wameokolewa kutoka kwa lifti mjini Rome,baada ya kukwama kwa siku tatu bila chakula wala maji.