This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Thursday, 29 October 2015

Usikose kusoma nakala yako ya gazeti la TABIBU leo alhamisi.!!                                                                      Tabibu michezo wiki hii.!!...

Bibi wa miaka 85 akamatwa kwa kuiba herein……..

Bibi kizee mmoja mwenye umri wa miaka 85 raia wa Marekani, na ambaye amekuwa akiiba vito vya thamani kwa zaidi ya miaka 60 amehukumiwa tena kwa kosa la wiz...

Thursday, 22 October 2015

Je Aspirin inazuia kurejea kwa Saratani…..?

Utafiti mkubwa na wa kwanza kubaini iwapo umezaji wa tembe za Aspirin kila siku unapunguza kwa kiwango kikubwa athari ya kurejea kwa saratani umeanza nchini Uingerez...

Filamu mpya ya Stars Wars yavunja rekodi…

Filamu mpya ya Star Wars: The Force Awakens imevunja rekodi Uingereza kwa kuuza tikezi nyingi zaidi siku ya kwanza ya kuuzwa kwa tiket...

Je wajua siri ya Mamba usingizini….?

Wataalamu wa masuala ya wanyama wamegundua kwamba, mamba ana uwezo wa kulala huku jicho lake moja likiwa waz...

Wednesday, 21 October 2015

Usikose nakala yako ya gazeti la TABIBU kesho alhamisi likiwa limesheheni habari kemkem za afya. Ni kwa bei ya sh. 500/= tu. TABIBU michezo wiki hii.!!...

Thursday, 15 October 2015

Usikose kusoma nakala yako ya gazeti la TABIBU leo alhamisi liko mitaani kwa bei ya sh. 500/= tu. Utapata kujua undani wa tiba za asili na kisasa kuusu magonjwa mbalimbali. "TABIBU NI DAKTARI WAKO WA NYUMBANI"                                                      TABIBU michezo wiki hii.!!!...

Friday, 9 October 2015

Utafiti waonesha hatari ya sigara,China……

Utafiti mpya umeonya kuwa sigara ina uwezo wa kuua kijana mmoja kati ya vijana watatu nchini Chin...

Thursday, 8 October 2015

Usikose kusoma nakala yako ya gazeti la TABIBU leo alhamisi kwa sh. 500/= tu.                                                              TABIBU michezo wiki hii.!!...

Tuesday, 6 October 2015

Utafiti: Pilipili huchangia maisha marefu…

Kwa miaka mingi sasa binadamu amekuwa akitumia pilipili kuongeza ladha kwenye mlo wake. Kuna wanaovutiwa na ukali wake na vilevile wanaoichukia kutokana na ukali hu...

Facebook kuanzisha Satelite yao…

Kampuni ya Facebook imetangaza kuwa itaanzisha mtandao wa satellite, ili kutoa huduma za internet kwenye maeneo yaliyo mashambani barani Afrik...

Monday, 5 October 2015

Antenna Show ya radio 5 Tar 30-9-2015

Kama ulimiss kusikia nilichokifanya kwenye Show ya Antenna Tarehe 30-9-2015, basi nimekupachikia hapa twende sawa, show hufanyika siku tano za za wiki yaani Monday to Friday kanzia saa kumi kamili jioni mpaka saa kumi na mbili nusu jioni. KIWA STRONG "Kiwale 11"...

Thursday, 1 October 2015

Nyani wazima kituo cha redio Zimbabwe……

Nyani wasumbufu katika kijiji cha Zvishane mjini Zimbabwe,wamedaiwa kukizama kituo kimoja cha cha redio nchini hum...

Mbwa atumia wiki tatu kujifunza lugha mpya……

Mbwa aliyekuwa akiandamana na mmiliki wake kwenye darasa la kujifundisha lugha, ameshangaza wengi baada ya kuanza kuelewa lugha hiyo baada ya wiki tatu peke...