This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Wednesday, 29 March 2017

FIRST LADY WA ZAMANI WA IVORY COAST AACHIWA HURU….

Mahakama nchini Ivory Coast imemwachia huru first lady wa zamani Simone Gbagbo, aliyekuwa amefungwa kwa makosa dhidi ya ubinadamu.

CANADA KUHALALISHA BANGI IFIKAPO MWAKA UJAO…

Matumizi ya bengi kwa kujiburudisha yatahalalishwa nchini Canada ifikapo tarehe mosi Julai mwaka 2018.

RIPOTI YA FARU JOHN KUWANG’OA VIGOGO WAWILI…..

Kamati iliyoundwa kuchunguza utaratibu uliotumika kumhamisha Faru John kutoka hifadhi ya Ngorongoro kwenda Sasakwa Black Rhino Sanctuary iliyopo kwenye Hifadhi ya Grumeti Serengeti, imependekeza hatua za kinidhamu dhidi ya maofisa wawili wa Serikali waliohusika na uahamishwaji wa mnyama huyo.

ABIRIA 141 WANUSURIKA BAADA YA NDEGE KUWAKA MOTO....

Takribani abiria 141 wamenusurika kufa baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kuwaka moto.

Wednesday, 15 March 2017

ASILIMIA 34 YA WATOTO HAWANYWI MAZIWA

Asilimia 34 ya watoto wenye umri chini ya miaka mitano wana tatizo la udumavu kutokana na kutokunywa maziwa na kukosa vyakula vyenye virutubisho vya kutosha.

WATU WALIO NA WATOTO HUISHI MIAKA MINGI KULIKO WALE WASIONAO

Kuwa na watoto inaweza kuchangia mtu kuishi miaka mingi, kwa mujibu wa utafiti uliofanywa.

Manufaa ya kuwa na watoto huonekana hata wakati watu wanapotimia umri wa miaka 80 na zaidi.

MAGUNIA 5 YALIYOJAA PESA YAGUNDULIWA UWANJA WA NDEGE

Maafisa wa serikali nchini Nigeria wanasema magunia matano yaliyokuwa na mabunda ya noti, yamegunduliwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kaduna.

Monday, 13 March 2017

ZIPO SIRI SABA ZA KUISHI MIAKA 100 NA ZAIDI…..

Kuishi karne moja au zaidi duniani ni mafanikio makubwa katika maisha ya binadamu.

Sunday, 12 March 2017

VIDEOMPYA: MAUA SAMA ANATUALIKA KUITAZAMA HII MPYA INAITWA ‘MAIN CHICK’.

Kiwanda cha Bongofleva kinazidi kutupa madini mapya kila siku,Leo March 11 2017 ni zamu ya Maua Sama ambaye ametuletea video yake mpya inaitwa ‘Main Chick’.Unaweza kuitazama hapa chini 

Saturday, 11 March 2017

SERA YA FAMILIA KUWA NA WATOTO 2 YALETA MABADILIKO CHINA....

Uchina inasema uamuzi wake wa kuruhusu familia kuwa na watoto wawili badala ya mmoja tu, umeleta mabadiliko thabiti.

GARI LAANGUKA KATIKA PAA LA NYUMBA CHINA...

Gari moja lilipoteza mwelekeo katika mji wa Taizhou uliopo mashariki mwa China, kuteleza barabarani na kuanguka katika paa la nyumba.

VIDEO MPYA: HAMORAPA FT NATURE -KIBOKO YA MABISHOO

Kutoka kwenye kiwanda cha mziki wa Bongofleva  leo March 11 2016 Hamorapa ametuletea video ya mdundo wake mpya ‘Kiboko ya mabisho‘ ambao amemshirikisha mkali wa longtime kwenye game ya Bongofleva Juma Nature, kama utakuwa unazipenda video kutoka Bongoflevani unaweza kuicheki hapo chini.

VIDEOMPYA: CHEGE NA TEMBA WAMETULETEA HII MPYA INAITWA “GO DOWN”

Baada ya kukaa kimya muda mrefu bila kuachia ngoma ya pamoja, Chege Chigunda na Temba wametuletea hii single mpya waliyomshirikisha mwanadada Emmy inaitwa “Go Down”,

TANZANIA NI NCHI YA MWISHO ULAJI NYAMA A. MASHARIKI…

Pamoja na kwamba Tanzania ni moja ya nchi zenye mifugo mingi barani Afrika, watanzania wanakula nyama kwa kiwango kidogo ikilinganishwa na nchi nyingine za Afrika ya Mashariki.

MFANYIKAZI WA JELA AFUNGWA KWA KUWA NA UHUSIANO NA MFUNGWA…..

Mwalimu mmoja wa jela ambaye alimpiga busu mbali na kumtumia barua za mapenzi mfungwa aliyeua amefungwa kwa makosa ya ukosefu wa nidhamu katika afisi ya uma.