This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Tuesday, 27 February 2018

HUU NI UTAMADUNI WA AJABU NAMIBIA…..

Katika nchi ya Namibia kuna mambo mengi mazuri ya kuifanya nchi hiyo itembelewe na watu mbali mbali hasa kwenye swala la kuenzi na kuziendeleza tamaduni zao.

NYOKA MWENYE SUMU KALI AGUNDULIWA NDANI YA MKEBE WA CHAKULA CHA MTOTO AUSTRALIA……….

Mwanamke amegundua nyoka mwenye sumu kali ndani ya mkebe ambao mtoto wake anatumia kebeba chakula cha mchana nchini Australia.

WAKUU WA MAJESHI WAFUTWA SAUDI ARABIA………..

Saudi Arabia imewafuata makamanda wa vyeo vya juu jeshini, akiwemo mkuu wa majeshi.
Mfalme Salman pia amefanya mabadiliko kwa makanda wa vikosi vya nchi kavu na vile vya angani.

RAMAPHOSA ATANGAZA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI…

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa, ametangaza baraza lake jipya la mawaziri.
Waziri wa zamani wa fedha Nhlanhla Nene amerejeshwa tena katika nafasi hiyo.

Monday, 26 February 2018

SUGU, MASONGA WAHUKUMIWA JELA MIEZI MITANO.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imewatia hatiani mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Emmanuel Masonga, na kuwahukumu kifungo cha miezi mitano jela.

Monday, 13 November 2017

AUAWA KISA KUSAFIRISHA NG'OMBE….

Viongozi wa kijamii katika mji wa Rajasthan nchini India, wanasema mtu mmoja ambaye ni muislam ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaoamini ng'ombe kuwa mungu wao.

ASKARI WALIOBAKA WATOTO WA MIEZI 18 KIZIMBANI DRC…

Wanajeshi 18 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC, wamepandishwa kizimbani kwa mara ya kwanza wakikabiliwa na kesi ya ubakaji wa halaiki wa watoto.

MAHAKAMA YAMHUKUMU LULU MIAKA 2 GEREZANI...

Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imemhukumu kwenda jela miaka miwili muigizaji wa filamu bongo Elizabeth Michael (Lulu) ambaye alikuwa anakabiliwa na kesi ya kuua bila kukusudia.

Monday, 30 October 2017

BREAKING:VIDEO-LAZARO NYALANDU AJIVUA UBUNGE AHAMA CCM......

Saturday, 21 October 2017

GAMBO ATOA AGIZO KWA MKURUGENZI……

Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo ameagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Monduli kuhakikisha anasimamia ujenzi wa Ofisi za Kata na unakamilika kabla ya mwezi wa kumi na mbili mwaka huu.

ADAKWA NA POLISI KWA KUBAKA WATOTO 14…


Jeshi la Polisi mkoani Singida linamshikilia mganga wa kienyeji mkazi wa mtaa wa Minga Daud Idd (74), kwa tuhuma ya kunajisi watoto 14 wenye umri kati ya miaka saba na 12 na kuwasababishia maumivu makali katika sehemu zao za siri.

MWALIMU AJICHINJA KOROMEO HADI KUFA…

Mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Mtenga wilayani Nkasi, Leonard Mwipugi (29) amejiua kwa kujichinja koromeo akiwa nyumbani kwake.

ZITO KABWE ASEMA MWANACHAMA AMBAE SAFARI IMEMSHINDA ASHUKE MWENYEWE.

Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Zitto kabwe, amekaa mbele ya waandishi wa habari kufafanua mambo mbalimbali ikiwemo ishu ya kujivua unachama kwa aliyekuwa mwenyekiti wa kamati ya kampeni na uchaguzi Samsoni Mwigamba.
Tizama video hapo chini juu ya kile alicholizungumza Zitto Kabwe.

WHO LAMTEUWA MUGABE KUWA BALOZI MWEMA WA AFYA

Shirika la afya duniani WHO limemteuwa rais wa Zimbabwe Robert Mugabe kama 'balozi mwema ' katika kusaidia kukabiliana na magonjwa yaliyosahaulika.

HELIKOPTA YAANGUKA KATIKA ZIWA KENYA…

Ndege moja aina ya helikopta imeanguka katika ziwa Nakuru nchini Kenya muda mfupi baada ya kuondoka katika hoteli moja mjini humo.