This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Monday, 4 May 2015

Utafiti mwingine ni hatarii usijaribu...!!

Kesi za watu kujipiga risasi sio ngeni kusikika na mara kwa mara, zimekuwa zikitokea sehemu mbalimbali duniani kutokana sababu mbalimbali ambazo hufikiwa na walengwa.

Friday, 1 May 2015

Wanafunzi wapewa mafunzo ya kijeshi nchini Uganda….



Wanafunzi wa shule za msingi nchini Uganda,wamepewa mafunzo ya kijeshi kama njia ya kupambana na kundi la ash Shabab la Somalia.

Je,una matatizo ya kukatizwa kwa umeme……?




 Kampuni ya Tesla Motors inayounda betri ya gari, imetangaza kuwa ina mpango wa kuuza

Thursday, 30 April 2015

Burundi: Wanafunzi watahadharishwa..!!!!

hali ya usalama ni tete nchini Burundi, watu watano wameripotiwa kupoteza maisha
Wanafunzi katika chuo kikuu cha Burundi mjini Bujumbura, wanasema kuwa serikali imewaagiza

Uuzaji holela wa Antibayotiki moja ya sababu za usugu kwa tiba:WHO

Usugu wa dawa aina ya viuavijisumu au antibayotiki kwa magonjwa umesalia kuwa changamoto

Askari wa Ufaransa wanajisi watoto CAR...

Mmoja wa wanajeshi wa Ufaransa
Waendesha mashtaka nchini Ufaransa wanachunguza tuhuma za ngono kwa watoto zinazodaiwa kufanywa na wanajeshi wa nchi hiyo pindi walipokuwa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Wednesday, 29 April 2015

Akatazwa shule kwa kuvaa sketi ndefu..!!!!


Sketi ndefu.
Msichana mmoja muislamu amekatazwa kuingia darasani huko shuleni kwao Ufaransa kwa sababu alikuwa amevalia sketi ndefu.

Mawasiliano ya kijamii yakatwa Burundi…!!!

Utawala nchini Burundi umekata mawasiliano ya mitandao ya kijamii kupitia kwa simu za mkononi, mawasiliano ambayo wamekuwa wakitumia kupanga maandamano ya kumpinga rais Pierre Nkurunziza. Mamia ya waandamanaji wako barabarani kwenye mji mkuu wa Buruni,Bujumbura kwa siku ya nne ya ghasia kutokana na uamuzi wa rais kwa kuwania muhula wa tatu.

Pacquiao atamba kumchakaza Mayweather..!!

Mpambano kati ya Mayweather na pacquiao unasubiriwa kwa hamu duniani kote
Zikiwa zimesalia siku chache kabla ya dunia kushuhudia mpambano wa karne wa mabondia Floyd Mayweather na Manny Pacquiao,Bondia wa Ufilipino Manny Pacquiao

Indonesia yajitetea kwa kuwaua wauza Unga 8!!!

Waustralia wawili waliouawa
Indonesia imetetea uamuzi wake wenye utata wa kuamua kuwauwa walanguzi wanane wa dawa za kulevya wakiwemo raia saba wa kigeni, ikisema kuwa hivyo ni vita dhidi ya biashara ya mihadarati.

Utafiti mpya wabaini ‘Panya Road’ bado tishio Tz.

Vikundi vya uhalifu nchini vyenye muundo ‘Panya Road’ vinazidi kuwapa hofu wananchi kutokana na vitendo vyao vya kutishia amani, utafiti wa Taasisi ya kiraia ya Twaweza umebainisha.

Kahawa ya Tanzania hatarini kutoweka...

Utafiti uliofanywa na wataalamu wa mambo ya kilimo unaonyesha kuwa,zao la Kahawa nchini Tanzania huenda likatoweka kabisa kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi.

Shilingi ya Tanzania yazidi kuporomoka……

Shilingi ya Tanzania imeendelea kushuka hadi kufikia anguko la asilimia 20 dhidi ya dola

Indonesia yawanyonga wauza mihadarati..

Indonesia imewaua wauzaji wanane wa mihadarati baada ya kutoa hukumu ya kifo dhidi yao.

Tuesday, 28 April 2015

Je,wewe hupatwa na maumivu ya mgongo?

Sokwe


Watu wenye maumivu ya mgongo wana uwezekano mkubwa wa maumbile ya mgongo wao kuwa sawa na ule wa sokwe.