This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Thursday, 4 June 2015

Agentina waandamana kutetea wanawake....!!



 
Maelfu ya watu wameandamana katika mji mkuu wa Argentine Buenos Aires,kupinga mateso dhidi ya mwanamke.

Wednesday, 3 June 2015

Nyama ya mbwa yasababisha kifo…….?



 
Kuna baadhi ya nchi kama China wana desturi ya kula nyama ya mbwa,hata baadhi ya makabila ya hapa Tanzania inadaiwa hutumia nyama ya mbwa kama kitoweo.

Usikose nakala ya gazeti lako la TABIBU kesho alhamisi likiwa limesheheni habari kemkem kuhusu afya. Kwa bei ya sh. 500/= tu.

TABIBU michezo wikihii.!!

Mkuu wa FIFA, Sepp Blatter ajiuzulu ghafla..!!!



 Rais wa Shirikisho la Soka Duniani  FIFA ametangaza kujiuzulu katika wadhifa wake huo siku chache tu baada ya kuchaguliwa kwa wingi wa kura kuliongoza shirikisho hilo.

Sokwe wanajua upishi wa vyakula....!!!!



 
 Wanasayansi kutoka Marekani wana imani kuwa sokwe wana uwezo na akili ya kupika chakula.

Tuesday, 2 June 2015

Ndege inayotumia miale ya jua yasitisha safarii...!!

Ndege inayotumia miale ya jua kupaa yatatizika
Safari ya mwisho ya ndege ya kwanza inayotumia nishati ya miale ya jua kupaa angani, imetatizika kutokana na hali mbaya ya hewa

Afrika kusini yaweka sheria mpya ya watoto…!!!

Nchini Afrika Kusini lalama zimetolewa dhidi ya sheria mpya kuhusu kupata Visa ya watoto nchini Humo.

Ajuza aokolewa katika boti iliozama China….



 
Waokozi nchini Uchina wanaowasaka manusura kutoka kwenye meli ya abiria iliyozama katika mto Yangtze wameweza kumvuta kutoka kwenye meli hiyo mwanamke mwenye umri wa miaka 85.

Simba kapitia dirishani na kuvamia watalii kwenye gari Afrika Kusini… !!!!



 
Vyombo vikubwa vya habari vimeripoti sana hili tukio  leo,kuhusiana na simba aliyepita dirishani na kuvamia watalii kwenye gari huko Afrika Kusini,

Monday, 1 June 2015

Taulo lako unalifua mara ngapi kwa wiki....??




Labda ishu ya kufua taulo hauizingatii sana kwa vile unalitumia tu mara moja alafu unalitundika mpaka baadae au kesho, hivi una mpangilio maalum wa siku za kufua taulo lako,au huwa unalifua baada ya kulitumia mara ngapi?

Baiskeli yamvunja mguu John Kerry...!!!


John Kerry


Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni wa Marekani John Kerry, amelazwa katika Hospitali moja mjini Geneva, baada ya kuvunjika mguu, katika ajali ya uendeshaji baiskeli kwenye milima ya Alps, nchini Ufaransa.

Sheria ya ndoa za jinsia moja yaanzishwa……!!


wapenzi wa jinsia moja

 Kinara mkuu wa chama cha upinzani cha Labour nchini Australia, ameanzisha sheria inayokubalia ndoa ya wapenzi wa jinsia moja, sheria ambayo inapingwa na Waziri mkuu wa nchi hiyo Tony Abbott.

Ujerumani ina idadi ndogo zaidi ya watoto duniani...!!



 
Idadi ya watoto wanaozaliwa nchini Ujerumani imepungua zaidi ya mataifa yote duniani.

Dawa mpya kudhibiti saratani…!!



 
Aina ya dawa mbili za kutibu saratani zinaweza kuzuia uvimbe wa saratani kwa watu karibu asilimia 60% wenye saratani iliyofikia kiwango cha juu kijulikanacho kama melanoma, ni kwa mujibu wa majaribio mapya kwa wagonjwa.

Marufuku uvutaji sigara China..!


Watakaokiuka sheria ya uvutaji sigara mjini Beijing kupigwa faini


Serikali ya China,imepiga marufuku kuvuta sigara katika maeneo yote ya wazi katika mji wa Beijing.