This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Monday, 29 February 2016

WALIMU KUTOLIPA NAULI DAR ES SALAAM..

Hatimaye walimu katika jijini Dar es Salaam nchini Tanzania wataanza kusafiri bure bila ya kutozwa nauli.

SAMATTA AIBEBA GENK…

Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta amefunga bao lake la kwanza

MJI WA INDIA WAPIGA MARUFUKU FILAMU…!

Mji wa kaskazini mwa India Aligarh, umepiga marufuku filamu mpya yenye jina la mji huo kuoneshwa huko, kwa sababu inahusu mapenzi ya jinsia moja.

Saturday, 27 February 2016

IDADI YA WATU YAPUNGUA JAPAN.…

Takwimu rasmi ya idadi ya watu nchini Japan, imeashiria kuwa idadi ya watu nchini humo ilipungua kwa takriban watu milioni moja katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.

RAIS MPYA WA FIFA NI GIANNI INFANTINO……

Raia wa Switzerland Gianni Infantino amechukua mahala pake Sepp Blatter kama rais wa shirikisho la soka duniani Fifa.

Friday, 26 February 2016

BREAKING NEWZZZZZ..!!! MAWAZIRI KUTUMBULIWA MAJIPU..!!


Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli,ameagiza mawaziri wasiorejesha hati za tamko la mali na ahadi ya uadilifu, kufanya hivyo kabla ya saa 12 jioni leo february 26..

Unajua wasipofanya hivyo ni nini kitatokea,bonyeza play hapo chini umsikie waziri mkuu Kassimu Majaliwa alipokuwa akitoa agizo hilo la Rais.

UTAFITI: MWANYA KATI YA MATAJIRI NA MASIKINI UNAZIDI KUPANUKA MAREKANI…

Utafiti mpya unaonyesha kuwa mwanya kati ya matajiri na masikini unazidi kupanuka nchini
Marekani.

Thursday, 25 February 2016

BEIJING YAIPITA NEW YORK KWA MABILIONEA…!!

Jiji la Beijing limelipita jiji la New York katika kuwa na idadi kubwa ya mabilionea, ripoti mpya ya shirika la Hurun kutoka Uchina inasema.

Wednesday, 24 February 2016

MCHEZAJI ALIYEMPA REFA ''KADI NYEKUNDU'' APONGEZWA…!!

Mashabiki wa kilabu Trabzonspor wamefanya maandamano, wakimuunga mkono mchezaji mmoja ambaye alipewa kadi nyekundu kwa kumuonyesha kadi nyekundi refa.

MARS YATAKA CHOKOLETI ZIRUDI KIWANDANI…

Watengenezaji wa chokoleti za Mars nchini Marekani, wamesema inazitaka nchi hamsini na tano kurejesha mamilioni ya chokoleti zilizotokea kiwandani hapo.

NDEGE ILIYOWABEBA WATU 21 YATOWEKA NEPAL….

Ndege ndogo iliyowabeba abiria 21, imetoweka ikiwa maeneo yenye milima nchini Nepal.

Tuesday, 23 February 2016

WAFANYAKAZI WATUMBUA JIBU KAMPUNI YA UJENZI ARUSHA…

Mkuu wa wilaya ya Arusha Fadhili Mkulu, ameitakakampuni ya ujenzi ya CATIC kutoka nachini

SOKWE AZALIWA KWA UPASUAJI..!!

Mwana wa Sokwe anaendelea vyema, baada ya kuzaliwa kupitia upasuaji katika hali isiyo ya kawaida.

Monday, 22 February 2016

SAMSUNG YAZINDUA SIMU MPYA YA GALAXY S7…

Kampuni ya kutengeneza simu ya Samsung imezindua simu yake mpya ya kisasa aina ya Galaxy S7

RIPOTI: KINONDONI KINARA WA UHALIFU….!!


Ripoti ya awali ya Utoaji wa Huduma za Kipolisi (PDB) inayosimamia usalama wa raia na