Friday, 26 February 2016

BREAKING NEWZZZZZ..!!! MAWAZIRI KUTUMBULIWA MAJIPU..!!


Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli,ameagiza mawaziri wasiorejesha hati za tamko la mali na ahadi ya uadilifu, kufanya hivyo kabla ya saa 12 jioni leo february 26..

Unajua wasipofanya hivyo ni nini kitatokea,bonyeza play hapo chini umsikie waziri mkuu Kassimu Majaliwa alipokuwa akitoa agizo hilo la Rais.

Related Posts:

  • Radi yaua watu watatu wa familia moja Rufiji Watu watatu wa familia moja wakazi wa Kijiji cha Mchukwi wilayani Rufiji Mkoa wa Pwani, wamekufa baada ya kupigwa na radi jikoni wakati mvua zikinyesha jana jioni. Inadaiwa kuwa radi hiyo ilianza kupiga mti uliokuwa pemb… Read More
  • BARIDI KALI YAUA WATU 50…. Watu zaidi ya 50 wamefariki nchini Taiwan, kutokana na wimbi la baridi kali ambalo limeathiri maeneo ya Asia Mashariki. Watalii zaidi ya elfu 60 pia wamekwama Korea Kusini, kutokana na karidi hiyo. Vyombo vya habari nc… Read More
  • MGOGORO WA KIBINAADAM MISRI.. Shirika la kimataifa la kutetea haki za bimaadamu Amnesty International, linasema nchi ya Misri inasumbuliwa na suala la mgogoro wa haki za kibinadamu kwa kiwango kikubwa,na haya ni matokeo ya miaka mitano baada ya maand… Read More
  • Walimu marufuku kupaka wanja.! Serikali wilayani Geita Mkoa wa Geita, imepiga marufuku walimu kuvaa mavazi yasiyolingana na taaluma yao, na upakaji wanja na rangi ya mdomo kupita kiasi wanapokuwa kazini. Ofisa Utumishi wa Wilaya ya Geita Thabitha Bu… Read More
  • Teknolojia ambazo ni gumzo 2016… Hexo+ Hiki ni kitu kipya katika nyanja za anga na upigaji picha kufuatia kutangazwa kifaa kinachoitwa Hexo+ Hii ni ndege ndogo isiyo na rubani maarufu kama ‘drone’ iliyofungwa kamera maalumu. Kinachotokea ni kwamba wew… Read More

0 comments:

Post a Comment