Friday 26 February 2016

BREAKING NEWZZZZZ..!!! MAWAZIRI KUTUMBULIWA MAJIPU..!!


Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli,ameagiza mawaziri wasiorejesha hati za tamko la mali na ahadi ya uadilifu, kufanya hivyo kabla ya saa 12 jioni leo february 26..

Unajua wasipofanya hivyo ni nini kitatokea,bonyeza play hapo chini umsikie waziri mkuu Kassimu Majaliwa alipokuwa akitoa agizo hilo la Rais.

0 comments:

Post a Comment