Wednesday, 24 February 2016

NDEGE ILIYOWABEBA WATU 21 YATOWEKA NEPAL….

Ndege ndogo iliyowabeba abiria 21, imetoweka ikiwa maeneo yenye milima nchini Nepal.

Ndege hiyo ilikuwa safarini kutoka Pokhara magharibi mwa mji mkuu Kathmandu, kwenda Jomsom eneo ambalo watu wengi wanaoenda kukwea milima ya Himalaya huanza safari yao ya kukwea milima hiyo.
Hakuna viwanja vya ndege kati ya maeneo hayo mawili na inahofiwa kwamba ndege hiyo imeanguka.

Ndege hiyo ni ya shirika la ndege la Tara Airlines.

Related Posts:

  • MAMIA KUPIGWA PICHA ZA UTUPU UINGEREZA Mamia ya watu watavua nguo zao na kupigwa picha wakiwa tupu kusherehekea utamaduni katika mji wa Hull, Uingereza. Tukio hilo litakuwa la kusherehekea mji huo kama Mji wa Utamaduni. Washiriki watapakwa rangi ya samawati … Read More
  • MAJAJI WAJINOA MAHAKAMA YA UFISADI…!! Jaji Mkuu wa tanzania Mohamed Chande amesema kuwa, jopo la majaji linatarajiwa kuingia darasani ili kujifunza sheria mpya ya kuendesha kesi za ufisadi.  Kesi hizo zitakuwa zinaendeshwa katika Mahakama Kuu Kite… Read More
  • OBAMA AMALIZA MUDA WAKE IKULU YA WHITE HOUSE.. Rais Barack Obama wa Marekani amekuwa na mkutano wake wa mwisho na waandishi habari Ikulu mjini washington, tukio la mwisho la shughuli zake rasmi , kabla ya kumkabidhi madaraka Rais mteule Donald Trump. Obama aligusia … Read More
  • Jammeh asema ataondoka madarakani.... ..... Kiongozi wa muda mrefu nchini Gambia Yahya Jammeh, anasema kuwa ataondoka madarakani baada ya kukataa kukubali kushindwa. Katika tangazo kwenye runinga, Jammeh alisema kuwa hakuna haja ya hata tone moja la damu kumw… Read More
  • MJI WA MADINA WASHAMBULIWA…!! Mshambuliaji mmoja wa kujitoa mhanga, amejilipua katikati ya Jiji la Media jirani na Msikiti wa Mtume. Jiji la Medina ni miongoni mwa miji mitakatifu, kwa mujibu wa Imani za dini ya Kiislamu. Kituo cha Televisheni… Read More

0 comments:

Post a Comment