Home »
» TZ YAPAMBANA KUTOKOMEZA UKEKETAJI........
February 06, 2016
Tarehe Sita Februari ni
siku ya kutokomeza aina zote za ukeketaji watoto wa kike na wanawake duniani.
Umoja wa Mataifa
ulifikia uamuzi huo kwa kuzingatia kuwa kitendo hicho pamoja na kukiuka haki za
binadamu, kinakwamisha harakati za maendeleo ya kundi hilo wakati huu ambapo
dunia inasaka siyo tu ulinzi wa kila binadamu bali pia kufanikisha malengo ya
maendeleo endelevu.
Nchini Tanzania Umoja
wa Mataifa kupitia shirika lake la idadi ya watu linashirikiana na wadau
kutokomeza mila hiyo potofu.
Miongoni mwa wadau ni
Children’s Dignity Forum,ambao Kiwale11 blog ilimuuliza kurugenzi mtendaji wake Koshuma Mtengeti sasa wamefanya nini.
Bonyeza Play hapo chini
kumsikia Koshuma akieleza zaidi walipofanikiwa.
Related Posts:
ATUNGWA MIMBA YA PACHA NA WANAUME WAWILI…...!
Mapacha
wa kipekee wamezaliwa nchini Vietnam, baada ya kugundulika kuwa walitungwa na baba wawili tofauti.
Taarifa zinasema familia za mapacha hao iligundua kuwa
watoto hawakufanana hata kidogo, hivyo ikawalazimu kufany… Read More
APATIKANA NA HATIA YA KUMUIBA MTOTO…!!
Mahakama kuu mjini Cape Town nchini
Afrika Kusini, imempata na hatia mwanamke mmoja kwa kumteka nyara mtoto mchanga
kutoka hospitali moja karibu miaka 20 iliyopita.
Mtoto
huyo anadaiwa kunyakuliwa kutoka Katika kitanda … Read More
JUA LANASWA NA MWEZI INDONESIA…
Raia Indonesia wameshuhudia jua likizibwa kikamilifu na mwezi.ikiwa ndio nchi pekee iliyoshuhudia tukio hilo kote
duniani.
Hoteli zilizopo katika maeneo mazuri ya kushuhudiwa jua
likinaswa zilijaa miezi kadhaa iliopita,… Read More
MWANAMKE AMSAFIRISHA MTOTO NDANI YA BEGI..!!
Shirika la ndege la Air Ufaransa limesema kuwa, mwanamke mmoja alisafiri
kwa ndege kutoka Istanbul nchini Uturuki hadi
mjini Paris, akiwa na mtoto
aliyemficha katika begi lake la mkononi.
Shirika hilo limesema kuwa mtot… Read More
MAMBO HATARI YALIYOFICHIKA KWENYE MAFUTA YA KUPIKIA..
Mafuta ya kupikia yanatokana
na muunganiko wa kemikali zinazozalishwa na malighafi za asili kama vile seli
za mbegu, matunda ya mimea au wanyama.
Mafuta ni moja ya vinogesho vya chakula vinavyoongeza hamu ya kula
hasa y… Read More
0 comments:
Post a Comment