Saturday, 6 February 2016

TZ YAPAMBANA KUTOKOMEZA UKEKETAJI........

Tarehe Sita Februari ni siku ya kutokomeza aina zote za ukeketaji watoto wa kike na wanawake duniani.

Umoja wa Mataifa ulifikia uamuzi huo kwa kuzingatia kuwa kitendo hicho pamoja na kukiuka haki za binadamu, kinakwamisha harakati za maendeleo ya kundi hilo wakati huu ambapo dunia inasaka siyo tu ulinzi wa kila binadamu bali pia kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu.
Nchini Tanzania Umoja wa Mataifa kupitia shirika lake la idadi ya watu linashirikiana na wadau kutokomeza mila hiyo potofu.
Miongoni mwa wadau ni Children’s Dignity Forum,ambao Kiwale11 blog ilimuuliza kurugenzi mtendaji wake Koshuma Mtengeti sasa wamefanya nini.

Bonyeza Play hapo chini kumsikia Koshuma akieleza zaidi walipofanikiwa.

Related Posts:

  • ATUNGWA MIMBA YA PACHA NA WANAUME WAWILI…...! Mapacha wa kipekee wamezaliwa nchini Vietnam, baada ya kugundulika kuwa walitungwa na baba wawili tofauti. Taarifa zinasema familia za mapacha hao iligundua kuwa watoto hawakufanana hata kidogo, hivyo ikawalazimu kufany… Read More
  • APATIKANA NA HATIA YA KUMUIBA MTOTO…!! Mahakama kuu mjini Cape Town nchini Afrika Kusini, imempata na hatia mwanamke mmoja kwa kumteka nyara mtoto mchanga kutoka hospitali moja karibu miaka 20 iliyopita. Mtoto huyo anadaiwa kunyakuliwa kutoka Katika kitanda … Read More
  • JUA LANASWA NA MWEZI INDONESIA… Raia Indonesia wameshuhudia jua likizibwa kikamilifu na mwezi.ikiwa ndio nchi pekee iliyoshuhudia tukio hilo kote duniani. Hoteli zilizopo katika maeneo mazuri ya kushuhudiwa jua likinaswa zilijaa miezi kadhaa iliopita,… Read More
  • MWANAMKE AMSAFIRISHA MTOTO NDANI YA BEGI..!! Shirika la ndege la Air Ufaransa limesema kuwa, mwanamke mmoja alisafiri kwa ndege kutoka Istanbul nchini Uturuki hadi mjini Paris, akiwa na mtoto aliyemficha katika begi lake la mkononi. Shirika hilo limesema kuwa mtot… Read More
  • MAMBO HATARI YALIYOFICHIKA KWENYE MAFUTA YA KUPIKIA.. Mafuta ya kupikia yanatokana na muunganiko wa kemikali zinazozalishwa na malighafi za asili kama vile seli za mbegu, matunda ya mimea au wanyama. Mafuta ni moja ya vinogesho vya chakula vinavyoongeza hamu ya kula hasa y… Read More

0 comments:

Post a Comment