Tuesday, 23 February 2016

WAFANYAKAZI WATUMBUA JIBU KAMPUNI YA UJENZI ARUSHA…

Mkuu wa wilaya ya Arusha Fadhili Mkulu, ameitakakampuni ya ujenzi ya CATIC kutoka nachini


china, kuhakikisha inawapatia wafanyakazi wake mishahara, mikataba na vitendea kazi kwa mujibu wa sheria ya malipo au mishaara ya mwaka 2013/2014.
Hayo yametokana na mgomo uliofanywa na wafanyakazi hao leo, wakidai kufanya kazi bila mikataba, kupunjwa mishahara, kunyanyaswa na kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji.
Hali hiyo ilimlazimu mkuu wa wilaya Arusha Fadhili Mkulu, kufika katika eneo ambalo kampuni hiyo inaendelea na ujenzi, na kuzungumza na wahusika wa kampuni hiyo, pamoja na wafanyakazi hao.
Kupitia Kiwale11 Blog,nakupatia fursa ya kuyasikia yale ambayo mkuu wa wilaya ya arusha Fadhili Mkulu, amewataka viongozi wa kampuni hiyo ya ujenzi, kuyatekeleza ndani ya siku saba.
Kwa kubonyeza play hapo chini utasiwasikia wafanyakazi hao wakieleza sababu za mgomo huo, lakini pia utamsikia mkuu wa wilaya ya Arusha Fadhili Mkulu.

Related Posts:

  • Mexico kujadili kuhalisha bangi au la… Rais wa Mexico Enrique Pena Nieto, amesema kuwa ataanzisha mjadala wa taifa kujadili iwapo wanainchi wanataka baingi iidhinishwe au la. Tangazo lake linakuja juma moja tu baada ya Mahakama ya nchi hiyo kuwapa id… Read More
  • Ardhi yapasuka na kumeza magari 12. Wataalamu wa jiolojia wameitwa kufanya uchunguzi, ni jinsi gani ardhi ilipasuka na kumeza magari 12 katika maegesho ya magari jijini Mississippi. Shimo kubwa la urefu wa futi 400 (120m) na upana wa futi 35 (11m), lilitok… Read More
  • Facebook yaonywa ikome kudukua Ubelgiji… Mahakama moja nchini Ubelgiji, imeipa Facebook saa 48 kukoma kuwadukua watu ambao hawajajiunga na mtandao huo wa kijamii. Facebook imesema kuwa itakata rufaa uamuzi huo. Kampuni hiyo ya mtandao wa kijamii inadai ku… Read More
  • Kombe la dunia lilichangia mimba zaidi Afrika Kusini..!!! Mashindano ya kombe la dunia ya mwaka 2010 nchini Afrika Kusini, yalichochea ongezeko la idadi ya watoto wa kiume waliozaliwa nchini humo, miezi tisa baada ya mashindano hayo kuanza. Hiyo ni kwa mjibu wa taarifa iliyocha… Read More
  • Mamba kulinda wafungwa hatari Indonesia…!! Mkuu wa shirika la kupambana na dawa za kulevya Indonesia, amependekeza mamba watumiwe kulinda wafungwa waliohukumiwa kunyongwa. Budi Waseso anataka taifa hilo lijenge gereza kwenye kisiwa na kizingirwe na mamba akisem… Read More

0 comments:

Post a Comment