This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Friday, 29 April 2016

SARAFU ZA KIRUMI ZAPATIKANA UHISPANIA..!!

Katika hali ya kushangaza wafanyikazi wa ujenzi kusini mwa Uhispania, wamegundua akiba kubwa

COLOMBIA YAHALALISHA NDOA ZA JINSIA MOJA…!

Mahakama ya juu zaidi nchini Colombia, imehalalisha rasmi ndoa za wapenzi wa

BALOZI WA SAUDI ARABIA AMEPEWA SAA 48 KUONDOKA ROMANIA…

Balozi wa Saudi Arabia nchini Romania ambaye anakabiliwa na tuhuma ya kumbaka na kumuua

ASHINDA TUZO AKIWA MAHABUSU…..!!

Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THDRC), umempa tuzo ya mwaka George Mgoba aliye mahabusu akikabiliwa na

Thursday, 28 April 2016

MTOTO WA MIAKA 2 AMUUA MAMAKE KWA BUNDUKI..!!

Mvulana wa umri wa miaka miwili amempiga risasi na kumuua mamake kimakosa, katika mji wa Milwaukee nchini Marekani.

Wednesday, 27 April 2016

ALIYEVUMBUA PLEASE CALL ME ASHINDA KESI…!!

Mahakama ya Kikatiba nchini Afrika Kusini, imeiamuru kampuni ya mawasiliano ya Vodacom kumlipa mwanamume aliyebuni wazo la kutuma ujumbe wa kuomba apigiwe simu.

WATU KUFANYA KAZI SIKU MBILI KWA WIKI VENEZUELA…!!

Serikali ya Venezuela imeagiza wafanyakazi wake wawe wakifanya kazi siku mbili kwa wiki,hii ni hatua ya muda iliyochukuliwa kutokana na uhaba wa umeme.

HII NDIO NOTI YENYE MWONEKANO MZURI DUNIANI…!!

Mkutano wa Mwaka wa ‘International Bank Note Society’s ‘IBNS’, umetambua

KICHAA CHA MBWA HUU WATU ZAIDI YA 1000 KILA MWAKA NCHINI….

Imeelezwa kuwa watu elfu 1 mia 6 hasa watoto hufa nchini kila mwaka, kutokana na ugonjwa wa

UKILALA KATIKA KITANDA KIPYA HUTALALA VYEMA…!!

Je ushawahi kugundua kuwa ukilala katika kitanda au mazingira mapya haupati usingizi wa kutosha?

Tuesday, 26 April 2016

MKE WA KIBAKI AFARIKI……

Mke wa Rais mstaafu wa Kenya Mwai Kibaki Lucy Kibaki, amefariki dunia leo jijini London, Uingereza alipokuwa akipatiwa matibabu.

MAELFU WAANDAMANA NORTH CAROLINA….

Maelfu ya waandamanaji wamesafirishwa kwa mabasi hadi katika mji mkuu wa jimbo la North Carolina nchini Marekani ili kufanya maandamano.

WAKATI BORA WA KUPEWA CHANJO YA HOMA…

Na utafiti nchini Uingereza unaonesha kuwa, chanjo ya homa ni bora zaidi iwapo mtu atapewa majira ya asubuhi badala ya alasiri.

Watafiti wamebaini kuwa uwezo wa mwili wa mtu una nguvu mno kuwa na matoke bora iwapo mtu apata chanjo hiyo kabla ya saa tano mchana.

Monday, 25 April 2016

JENERALI WA JESHI NA MKEWE WAUAWA BURUNDI..!!

Afisa mkuu wa jeshi la Burundi ameuawa pamoja na mkewe, baada ya kushambuliwa na watu

MVULANA WA MIAKA 16 ASHTAKIWA UGAIDI AUSTRALIA..!

Polisi nchini Australia wamemshtaki mvulana mwenye umri wa miaka 16, ambaye anasemekana