Katika hali ya kushangaza wafanyikazi wa
ujenzi kusini mwa Uhispania, wamegundua akiba kubwa
ya sarafu za kale za Kirumi
nchini humo.
Wafanyakazi hao wamegundua sarafu hizo,wakati
wakifanya ukarabati kwenye mabomba ya maji.
Maelfu ya sarafu hizo za shaba zilizo na uzani wa kilo
mia 6, zilipatikana zikiwa zimefichwa kwenye makopo, katika mji wa Tomares
karibu na Seville.
0 comments:
Post a Comment