Kampuni
ya kuunda magari ya Japan ya Mitsubishi, imekiri kufanya makosa kwa tamwimu za
matumizi ya mafuta kwa zaidi ya magari 600,000.
Mauzo ya hisa za kampuni hiyo
yalifunga yakiwa yameshuka kwa asilimia 15 kutokana na ripoti kuwa ilikuwa
imedanganya.
Wakati wa mkutano na waandishi wa
habari, Mitsubishi ilisema kuwa majaribio ya matumizi ya mafuta kwa magari hayo
yalikuwa yamefanywa kwa njia ambayo haikuwa sahihi.
Ilisema kuwa magari yaliyopatwa
na kosoro hiyo yalikuwa yametengenezwa kwa kampuni ya Nissan.
Hayo yanajiri wiki sita baada ya
kampuni ya magari ya Ujerumani ya Volkswagen, kukiri kudangaya katika mitambo
ya gesi chafu ya magari yanayotumia mafuta ya
0 comments:
Post a Comment