Sheria mpya
imeidhinishwa nchini Kazakhstan, inayoruhusu utumiaji wa kemikali kuhasi ili
kuwaadhibu watu waliopatikana na hatia ya kufanya ngono na watoto.
Hatua hiyo ni mojwapo
ya sheria mpya kulinda haki za watoto.
Afisi ya mwendesha
mashtaka mkuu wa Kazakhstani imesema kuwa visa vya watu wanaopenda kufanya
ngono na watoto vimeongezeka kwa asilimia 50 mwaka uliopita.
Lakini wataalam
wanasema kuwa kuhasi hakuna madhara makubwa, hakudumu hulazimika kurejelewa na
ni ghal.
0 comments:
Post a Comment