Mahakama ya juu zaidi nchini Colombia,
imehalalisha rasmi ndoa za wapenzi wa
jinsia moja nchini humo.
Hatua hiyo
inaifanya Colombia kuwa taifa la nne kuhalalisha ndoa hizo katika mataifa ya
Kilatino, Amerika Kusini.
Taifa jingine ambalo ndoa za jinsia moja zinaruhusiwa ni Ireland ambalo raia
wake walipiga kura kwa wingi kuhalalisha ndoa za wapenzi wa jinsia moja tarehe 23
may 2015.
0 comments:
Post a Comment