This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Monday, 9 May 2016

MIFUKO 800 YA SUKARI YAKAMATWA…!!

Mapambano  kati ya vyombo vya dola na wafanyabiashara wanaodaiwa kuficha sukari  yameendelea

ABIRIA 31 WA ETIHAD WANUSURIKA KIFO..!!

Watu 31 wamenusurika kifo baada a ndege ya Etihad EY 474 waliyokuwa wakisafiria kutoka Abu

Friday, 6 May 2016

WATUMIAJI SIMU FEKI WAZIDI KUPUNGUA…

Kadri siku ya kuzima simu feki kote nchini inavyokaribia, imebainika kuwa wanaozitumia wanazidi kupungua nchini.

WAHUDUMU WA AFYA WATAKIWA KUNAWA MIKONO ILI KUPUNGUZA MAAMBUKIZI KWA WAGONJWA..!!

Shirika la afya duniani limewataka wahudumu wa afya kuimarisha usalama wa wagonjwa, kwa kuzingatia misingi ya usafi wa mikono ili kupunguza idadi ya maambukizi.

MADAKTARI WAPANDIKIZA VIUNGO VYA WENYE UKIMWI..!

Madaktari nchini Uingereza wamefanikiwa kwa mara ya kwanza kupandikiza viungo vya watu wanaougua Ukimwi kwenye wagonjwa wanaougua Ukimwi.

Thursday, 5 May 2016

NEW TRACK: MACHO KODO-YUYU WA MAMBO BAND

Kutokea katika kundi la Mambo Band la jijini Arusha kijana anafahamika kama Yuyu Nasssor,baada ya kumsikia kwenye nyimbo kadhaa za kundi hilo sasa ametoka na solo project.

HALI YA HATARI YATANGAZWA CANADA….

Gavana wa jimbo la Alberta nchini Canada, ametangaza hali ya hatari wakati moto mkubwa wa

ALIYEJARIBU KUUZA MWANAWE AHUKUMIWA MIAKA 5…!!

Mahakama moja nchini Afrika kusini imemhukumu mwanamke mmoja kifungo cha miaka 5, kwa

BANGI KUWATIBU WAGONJWA UJERUMANI…!!

Mahakama moja nchini Afrika kusini imemhukumu mwanamke mmoja kifungo cha miaka 5,kwa

Wednesday, 4 May 2016

SERIKALI YAMFUNGIA SNURA, WIMBO WA CHURA…!!

Wizara ya Habari, utamaduni, sanaa na michezo imefungia video na wimbo wa "chura" ulioimbwa na msanii Snura Mushi.

Tuesday, 3 May 2016

UANDISHI WA HABARI KAZI HATARI DUNIANI..!!

Kazi ya uandishi wa habari inaendelea kuonekana ni ya hatari zaidi duniani, baada ya utafiti

WHATSAPP YAFUNGWA KWA SAA 72 BRAZIL..!

Hakimu mmoja nchini Brazili amefunga mawasiliano ya mtandano wa simu kwa njia ya whatsapp kwa saa 72.

Monday, 2 May 2016

NGOMA MPYA YA P-MAN STAR.!!

P Man Star ni mmoja wa wasanii wanaounda kundi la Mambo Band lenye maskani yake maeneo ya Sekei jijini Arusha.

TANZANIA NI NCHI YA PILI AFRIKA, AMBAYO UCHUMI WAKE UNAKUA KWA KASI…..

Shirika la fedha duniani IMF, limeitaja Tanzania kama nchi ya pili Afrika ambayo uchumi wake unakua kwa kasi.

WANAJESHI WA UINGEREZA WAWASILI SOMALIA…!!

Kikosi kidogo cha jeshi la Uingereza kimewasili nchini Somalia kusaidia wanajeshi wa muungano