Watu nchini Italia wanapiga kura baada ya
kampeni zilizoangazia zaidi masuala la uhamiaji na uchumi.
Waandishi wa habari
wanasema kuwa ni vigumu kusema ni nani atashinda katika kura hiyo.
Upande wa
Five Star Movement, chama kinachotawaka, na mrengo wa kulia wa waziri mkuu wa
zamani Silvio Berlusconi wote wametabiri ushindi.
Bw
Berlusconi, 81, hawezi mweyewe kushika wadhifa wowote hadi mwaka ujao kutokana
na kesi inayohusu kodi.
Kura za maoni
zilipigwa marufuku wiki mbili zilizopita lakini uatafiti kabla ulionyesha kuwa
muungano huo wa Berlusconi ulikuwa na nafasi ya kupata ushindi.
0 comments:
Post a Comment