Tuesday 8 September 2015

Vifo vinavyotokana na nyoka kuongezeka….?

Shirika la kimataifa la misaada Medecins Sans Frontieres,limeonya kwamba vifo vitokanavyo na kuumwa na nyoka huenda vikaongezeka.
Hali hii inasababishwa na kuisha kwa akiba za dawa inayotibu sumu ya nyoka.

Inadhaniwa kwamba watu laki moja huuawa na nyoka kila mwaka.

0 comments:

Post a Comment