Serikali ya
Kenya inatarajiwa kuharibu boti moja iliyopatikana imebeba takriban kilo 7 za
mihadarati aina ya Heroini.
Boti hiyo inayoitwa 'Baby Iris' ilikamatwa na polisi kwa
tuhuma za ulanguzi wa mihadarati.
Ripoti ya
polisi inasema kuwa 'Baby Iris' inamilikiwa na kigogo mmoja raia wa Uingereza.
Boti hiyo iliyokamatwa katika bahari ya Kenya huko Mombasa,
itaharibiwa kuambatana na sheria za Kenya.
Jeshi la
wanamaji la Kenya ndilo lililokabidhiwa jukumu hilo la kuiharibu boti hiyo.
Mpaka napokuwa story hii ni kwamba,Boti hiyo ilikuwa tayari
imeshategwa mambomu tayari kuharibiwa.
0 comments:
Post a Comment