Monday 7 March 2016

HOTUBA YA RAIS DR MAGUFULI ARUSHA.

Tarehe 3 mwezi wa tatu Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli, alizindua jiwe la msingi la ujenzi wa barabara inayoanzia Arusha mpaka eneo la voi nchini Kenya.
Kama ulipitwa na yale aliyoyazungumza katika hotuba yake ya dakika 32, hapa nimekupachikia yote.

Waweza isikiliza kwa kubonyeza play hapo chini.

0 comments:

Post a Comment