Tuesday 25 July 2017

CHINA KUZINDUA MTANDAO USIODUKULIWA….

Wakati udukuzi wa mitandao wanapoendesha udukuzi zaidi, China inatarajiwa kuzindua mtandao usiodukuliwa ikimaanisha kuwa itakuwa rahis kugundua kabla ya wadukuzi kuingia.

Mradi huo wa kichina katika mji wa Jinan na unautumia teknolji inayofahamika kama Quantum, unajawa kuwa hatua kubwa na vyombo vya habari vya nchi hiyo.
Mradi huo pia ni ishara tosha kuwa China inachukua wajibu mkuwa katika masuala ya teknolojia ambayo kwa miaka mingi yametawaliwa na nchi za magharibi.
Kupitia mtandao huo wa Jinan watumiaji 200 kutoka jeshi, serikali, sekta ya fedha na kawi wataweza kutuma ujumbe kwa njia salama.

Hatua hii inamaana kuwa China inachukua hatua kubwa kuhakikisha kuwa mitandao imekuwa salama. Sasa hunda nchi zingine zikanunua teknolojia hii kutoka China.

0 comments:

Post a Comment