Wakati
udukuzi wa mitandao wanapoendesha udukuzi zaidi, China inatarajiwa kuzindua
mtandao usiodukuliwa ikimaanisha kuwa itakuwa rahis kugundua kabla ya wadukuzi
kuingia.
Mradi
huo wa kichina katika mji wa Jinan na unautumia teknolji inayofahamika kama
Quantum, unajawa kuwa hatua kubwa na vyombo vya habari vya nchi hiyo.
Mradi
huo pia ni ishara tosha kuwa China inachukua wajibu mkuwa katika masuala ya
teknolojia ambayo kwa miaka mingi yametawaliwa na nchi za magharibi.
Kupitia mtandao huo wa Jinan watumiaji 200 kutoka jeshi,
serikali, sekta ya fedha na kawi wataweza kutuma ujumbe kwa njia salama.
Hatua
hii inamaana kuwa China inachukua hatua kubwa kuhakikisha kuwa mitandao imekuwa
salama. Sasa hunda nchi zingine zikanunua teknolojia hii kutoka China.
0 comments:
Post a Comment