Rais wa Zambia Edgar Lungu ametangaza
hali ya dharura nchini humo kutokana na moto mkubwa uliyotekteza soko kuu la
mjini Lusaka.
Moto
huo pamoja na visa vingine kama hivyo unadhaniwa kuanzishwa kwa maksudi na rais
Lungu anasema ni vitendo vya kuhujumu uchumi ili kuifanya Zambia isitawalike
vyema.
Hata
hivyo wapinzani wake wanasema Rais Lungu anatumia mikasa hiyo kama kisingizio
cha kuendeleza utawala wa kiimla.
0 comments:
Post a Comment