Nyumba
inayoaminika kumilikiwa na mke wa aliyekuwa rais wa zamani wa Tanzania
Benjamini Mkapa itavunjwa ili kuruhusu upanuzi wa barabara ya Morogoro.
Nyumba hiuyo ya Anne Mkapa
itakuwa miongoni mwa maelfu ya nyumba, ambazo zinatarajiwa kuvunjwa shughuli
itakayowaathiri zaidi ya watu 10,000.
Gazeti la Th Citizen
lilitembelea nyumba hiyo inayodaiwa kumilikiwa na bi Anne na mwanamke mmoja
aliyepatikana katika eneo hilo alithibitisha kwamba ni nyumba ya Mkapa.
Natoka familia ya Mkapa,
lakini siwezi kusema mengi kuhusu swala hili,iwapo munataka maelezo zaidi ni
muhimu kuwasiliana naye, alisema mwanamke huyo.
0 comments:
Post a Comment