Kituo
cha Sheria na Haki za Binadamu, leo kimekutana na Waandishi wa Habari jijini
Dar es Salaam,na kutoa Tamko kuhusu masuala mbalimbali yanayoendelea nchini
yanayosababisha uvunjifu wa haki za binadamu.
Kituo hicho kimesema kuwa hali hiyo imejitokeza kwa kasi
hasa katika kipindi kifupi, baada ya kuzinduliwa taarifa ya Haki za Binadamu ya
nusu mwaka.
Tizama
video hapo chini.
0 comments:
Post a Comment