Kufutaia tukio la kulipuliwa kwa
ofisi za immma advocates, ambazo inaelezwa kuwa hutumiwa pia na wakili fatma
karume.
jeshi la polisi kanda maalumu ya
dar es salaam, leo limetoa taarifa kuhusu kulipuliwa kwa ofisi hizo.
Hatua hiyo inakuja siku moja baada
ya rais wa chama cha wanasheria tanganyika tls tundu lisu, kuwataka wanachama
wote wa TLS nchi nzima kususia kuhudhuria mahakamani kufanya kazi za uwakili
kwa siku mbili jummanne na jumatano, kupinga shambulio dhidi ya ofisi hizo za
immma advocates.
0 comments:
Post a Comment