This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Tuesday, 31 March 2015

Abiria aliandika barua kwa Rubani..!!!!!

Ishu ya ajali ya ndege ya Germanwings ambayo ilipata ajali katika milima ya Alps Ufaransa imekuwa ikizungumziwa sana hasa kutokana na ishu hiyo kuonekana kwamba rubani mmoja aliebaki ndani ya chumba cha marubani kuiangusha ndege hiyo kwa makusud...

Haya ni Maamuzi Mapya Australia baada ya kugundulika Rubani aliangusha Ndege kwa makusudi..!!!

Waziri mkuu msaidizi wa Australia Warren Truss ndio ametoa taarifa hii,baada ya ajali ya ndege ya Ujerumani kuangushwa kwa makusudi na Rubani msaidizi huko Ufaransa na kuua watu wote nd...

Njia za kuongeza kasi ya kompyuta

Kompyuta nyingi zinaponunuliwa huwa na kasi kubwa, lakini baada ya muda kasi hiyo huanza kupungua.Kuna njia mbalimbali za kuongeza kasi ya kompyuta yako na vifaa vingine kama simu za mikono na Ipa...

Hii ndiyo mitandao hatari kwa ‘madenti’

Tangu kuingia kwa miatandao ya kijamii nchini vijana wengi wamepata nafasi ya kuituma au kupokea ujumbe mfupi, picha na video kwa njia rahisi zaidi kuliko ilivyokuwa miaka 20 iliyopit...

Walimu witishia kugoma mkoani Kagera!!!

                    Chama cha walimu wilaya ya MISENYI mkoani Kagera wanatarajia kuitisha mgomo usiokuwa na kikomo kwa kutofundisha katika shule za msingi na...

Polisi inamsikilia aliyemkata na jembe shingoni mtoto wa kaka yake.!!

Mwanamke mmoja Shida Ngai mwenye umri wa miaka 35 mkazi wa makambi katika manispaa ya Songea mkoani ruvuma, anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani humo kwa tuhuma za kumpiga na kisha kumkata kwa jembe kwen...

Friday, 27 March 2015

TAFITI:Kilimanjaro vinara wa kunywa viroba..!!!!

Utafiti mpya umebaini kuwa wakazi wa Mkoa wa Kilimanjaro wanaongoza kwa unywaji wa pombe  hasa ya  virob...

Mtoto wa miaka 2 aweka rekodi India..!!!

Amini usiamini mtoto mwenye umri wa miaka miwili ameweka rekodi ya taifa ya ulengaji shabaha kwa mishale nchini Indi...

Utafiti: Hali ya uchumi ya mtu mmojammoja nchini ni mbaya kuliko ilivyokuwa miaka 10 iliyopita..!!!

Hivi karibuni, Taasisi ya Repoa ilitoa utafiti wake unaoonyesha kuwa hali ya kiuchumi ya wananchi inazidi kuwa mbaya ikilinganishwa na ilivyokuwa miaka 10 iliyopit...

Thursday, 26 March 2015

Lowassa asema hawezi zuia Mafuriko kwa mikono!!!

Siku moja baada ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kumuonya aliyekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa,kwa tuhuma za kukiuka Katiba na kuanza kampeni za Urais kabla ya muda, kiongozi huyo ameibuka na kudai kuwa hana njia ya kuwazuia watu wasimuombe agombee Urai...

Hizi ni sababu za Afande Sele kumfuata Zitto ACT..!!!

Ujio wa Zitto ndani ya ACT ni kama umefungua njia kwa watu wengi...

Ndege za Marekani yashambulia Tikrit nchini Iraq......

Ndege za kijeshi za Marekani zimeanza kutekeleza mashambulizi makali, katika maeneo yen...

Usikose kusoma gazeti lako pedwa la TABIBU kuhusu habari za afya liko mtaani kwa bei ya sh. 500/= ...

Wednesday, 25 March 2015

Msimu mwingine wa Kilimanjaro Tanzania Music Awards.. 2015

 Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kwa kushirikiana na Kilimanjaro Premium Lager wamezindua rasmi msimu mwingine wa tuzo za muziki Tanzania unaojulikana kama Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA)...

Tanzania na Kenya zimetiliana saini kulinda na kutunza misitu

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mazingira na Maliasili nchini Kenya Richard Lusiambe (wakwanza kulia) akiongozana na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki nchini Tanzania Gladness Mkamba mara baada ya kutia saini makubaliano ya Tanzania na Kenya kupiga vita biashara haramu ya mbao pamoja na mazao ya misitu inayofanyika kupitia mipaka ya nchi hizo katika mkutano uliofanyika jijini Arush...

Awaua wanawe na kuwaweka ndani ya Jokofu

  Mwanamke mmoja amekamatwa na polisi kufuatia mauaji ya wanawe wawili waliopatikana wamefungikiwa ndani ya jokof...

Monday, 23 March 2015

Majanga Dar…Mvua yasababisha vifoo!!!!

Watu watano wamefariki dunia kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, watatu kati yao wakiwamo wanafunzi wawili, wakipoteza maisha baada ya kibanda walichojihifadhi kujikinga na mvua kuangukiwa na nguzo ya umeme na kuwaunguz...

Lema asema Kinana amepigwa changa la macho Arusha.!!!

Siku moja baada ya Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana kuwapokea viongozi wawili akisema wanatoka Chadema na kumtuhumu Mbunge wa Arusha, Godbless Lema kuwa anatumia madaraka yake kujinufaisha na mali za umma, mbunge huyo amejibu akisema: “Kinana amepigwa changa la macho...

Hizi hapa sababu 5 za Zitto Kujiunga ACT.!!!

Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe,ametaja sababu tano za kujiunga na chama cha ACT-Tanzania,huku akijigamba kuwa yeye ni mchapakazi na kwamba sasa mambo yote ni mbele kwa mbel...

Saturday, 21 March 2015

Jana Sauti ya furaha ilisikika duniani kote..!!!

Tarehe 20 Machi kila mwaka ni siku ya furaha duniani, Umoja wa Mataifa umeandaa kampeni ya kukusanya maoni ya watu kutoka duniani kote ikitaka wakijibu swali , Je sauti ya furaha ni ipi?...

Mwana wa Whitney aondoshwa hospitalini..

Mwana wa aliyekuwa mwanamuziki wa 'rhythm n blues' marehemu Whitney Houston Bobbi Kristina Brown ameondoshwa katika hospitali ya chuo kikuu cha Emory na sasa yuko katika nyumba ya kurekebishia tabia katika jimbo la Atlanta,lakini uhaimisho huo sio ishara kwamba hali yake inaimarik...

Shilingi ya Tanzania yashuka thamani

Thamani ya shilingi ya Tanzania imeelezwa kuanguka kwa kiasi cha asilimia 7.9, hali ambayo imeelezwa kuchangiwa na sababu za kiuchumi za ndani na nje ya nchi. Dr Joseph massawe mkurugenzi wa utafiti wa uchumi na sera katika bank ya tanzania kuhusiana na sababu za kuporomoka kwa thamani ya shilingi,msike hapa chini....

YAHOO kufunga Ofisi zake China..!!

Kampuni ya mtandao YAHOO inatarajiwa kufunga ofisi yake ya mwisho katika eneo la China bar...

Issue nzima ya Zitto kujiuzulu Ubunge.

  Jana Kikao cha Bunge kilikuwa kikiendelea Dodoma, Mbunge Zitto Kabwe alikuwa mmoja ya Wabunge waliochangia katika mjadala uliokuwa unaendelea jioni ya jana kabla ya kupewa nafasi ya kusimama na kutoa maelezo binafs...

Kenya Airways yapunguza safari zake TZ.!!

Airways Shirika la ndege la Kenya, Kenya Airways jana limeanza rasmi kupunguza safiri zake katika uwanja wa ndege wa Dar es Salaam kufuatia agizo la mamlaka ya anga ya Tanzania kuamuru shirika hilo kupunguza safari zake kutoka 42 kwa wiki hadi 1...

Friday, 20 March 2015

WhatsApp yasababisha mke kupewa talaka!!!

Mwanamume mmoja nchini Saudia amempa talaka mkewe kutokana na ujumbe wake katika mtandao wa WhatsAp...

Ugumu wa maisha ndio kipimo cha akili..!!!!!

Ugumu wa maisha unaongeza ubunifu,lakini wakati mwingine ubunifu mwingine unaweza kukuweka pabay...

Usikose nakala yako ya gazeti la TABIBU wiki hii lipo mtaani kwa bei ya sh. 500/= ...

Tanesco yatoa kauli kuhusu umeme kukatika mara kwa mara.........

Shirika la umeme nchni-Tanesco-limesema hakuna mgao wa umeme na kilichojitokeza kufuatia kukatika kwa umeme mara kwa mara kuanzia machi 15 ni uchakavu wa miundombinu ya umeme ikiwemo kuanguka kwa nguzo za umeme hususani katika maeneo ya makazi ya watu yasiyopimw...

Mauwaji ya Albino ni Janga la Taifa Serikali yatangaza...

Serikali imewataka maafisa wa jeshi la polisi hapa nchini kutumia mbinu zote za kijeshi na miongozo katika kuhakikisha wanakomomesha mauji ya watu wenye ulemavu wa ngozi ambayo yamekuwa janga kwa taifa....

Thursday, 19 March 2015

Mwinjilist akutwa amewahifadhi wahamiaji haramu huko kilimanjaro.....

JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia Mwinjilisti wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)...

Wednesday, 18 March 2015

Jimbo la Colorado lakusanya kodi ya Bangi zaid ya bil 24..l..

Kwa Tanzania Sheria zimebanwa zaidi kuzuia matumizi ya dawa za kulevya,lakini kwa Marekani wao kuna Majimbo ambayo yaliruhusu matumizi ya Bangi, uhalali huu umeingiza Bangi kuwa bidhaa halali kabisa kutumiwa na kuuzwa kama ilivyo bidhaa nyingine Majimbo kama ya Washington DC,Alaska na jimbo la colorad...

Majaji 3 nje kwa kutizama video za ngono

Majaji watatu wamefutwa kazi kwa kutumia muda wao afisini kutizama filamu za ngon...

Tuesday, 17 March 2015

Harufu ya Choo yalazimu ndege Kutuaa dakika chache baada ya kuruka..!!

Ndege moja ya shirika la ndege la British Airways,ilikuwa ikielekea Heathrow Uingereza kutoka Dubai,imelazimika kutua kufuatia harufu mbaya iliyokuwa ikitokea kwenye cho...

TAKUKURU Kuwaanika mtandaoni wala Rushwa..

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imetangaza katika tovuti yake majina 287 ya washtakiwa waliopatikana na hatia katika kesi za rushw...

Mwanamfalme wa Uingereza Prince Harry kuondoka jeshini Juni..

Mwanamfalme wa Uingereza Prince Harry amesema anaangalia mustakhabali mwingine wa maisha baada ya kuthibitika kuwa ataacha jeshi mwezi Juni. Taarifa kutoka makazi ya kifalme ya Kensington imesema Prince Harry atamaliza utumishi wake wa miaka kumi jeshini baada ya wiki nne kwenda kutumikia katika jeshi la ulinzi la Australia, kuanzia mwezi April. Mrithi wa nne katika mfuatano wa warithi wa kiti cha ufalme wa Uingereza amesema uzoefu wake...

Unajua kwa nini unapiga mihayo...

Kwa kawaida upigaji wa miayo huashiria kuchoka kwa mwili, akili au kujisikia kuchoshwa na jambo au hali fulani. Hali hii hutokea bila kutarajia wala haiepukiki, kama ilivyo kuhema.  Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa kuhusu miayo, binadamu huanza kupiga miayo tangu akiwa tumboni na umri wa wiki 11! Kuna maelezo mengi tofauti kuhusu suala la kupiga miayo, lakini yanayovutia zaidi ni yale yanayofanywa na mtafiti wa Chuo Kikuu cha Princeton...

Ukatili wa kutisha kichanga chaokotwa kimekufa..!!

Matukio ya kinyama ya kuwatupa watoto hususani vichanga yameendelea kutokea katika maeneo mbali mbali hapa nchini Tanzania. Jana katika mkoa wa Arusha eneo la  la Relin Themi Njiro, ameokotwa mtoto kichanga ambaye amepatikana akiwa tayari amefariki dunia baada ya kutupwa na mtua ambaye hajafahamika. Akizungumza na kiwale11blog,diwani wa kata ya Themi venance kinabo,amesema bado haijajulikana mtu aliyemtupa kichanga huyo ametokea eneo gani. Mtoto...

Monday, 16 March 2015

Serikali kuifungia mitandao ya kijamii,Radio na TV zitakazofanya haya hapa..!!!

Mamlaka  ya Mawasiliano Tanzania  (TCRA), imesema iko mbioni kuifungia mitandao ya kijamii, redio na televisheni inayokiuka maadili ya Mtanzania. Meneja Mawasiliano wa Mamlaka hiyo, Innocent Mungy, alisema kuwa mitandao hiyo ni pamoja na  facebook, whatsapp na  instagram. Alisema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu changamoto zinazoikabili mamlaka hiyo kutokana na kuwapo kwa watumiaji wengi wa...

Under 18 Uingereza kufunzwa Somo kuhusu ubakaji....

Wanafunzi kuanzia miaka 11 nchini Uingereza watafundishwa kuhusu tofauti kati ya ubakaji na tendo la ngono ambalo limetekelezwa kutokana na idhini ya wapenzi wawili kama mojawapo ya mipango ya kuwawapa ujuzi kuhusu maisha ya sasa nchini humo Somo hilo ambalo litaanzishwa mara moja baada ya siku kuu ya Easter litaongezwa katika mtaala wa Uingereza baada ya wasiwasi kutolewa kwamba vijana walikuwa wakishinikizwa kushiriki katika ngono. Nick...

Moto waunguza Hostel za Wasichana Mabibo Asubuhi hii

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Mwanamke mwenye 'sura mbaya' atoa filamu..

Mwanamke anayedaiwa kuwa na sura mbaya duniani na mitandao inayomuonea ametoa filamu kuhusu maisha yake. Maisha ya Lizzie Velasquez mwenye umri wa miaka 26 yalibadilika kabisa baada ya kuona kanda ya video katika mtandao wa tube iliodai kwamba yeye ndiye mwanamke mwenye sura mbaya duniani. Lizzie ambaye alikuwa na miaka 17 wakati huo alikasirishwa kuona kwamba msichana aliyekuwa katika kanda hiyo ya video alikuwa yeye. Kanda hiyo ilioonekana...

Saturday, 14 March 2015

Papa Francis atoa ishara za kujiuzulu.!!!!!

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis amedokeza kwamba huenda akafuata nyayo za mtangulizi wake Papa Benedict kwa kujiuzulu. Akihojiwa na runinga moja ya nchini Mexico katika sherehe za maadhamisho yake ya pili tangu achaguliwe,Papa Francis amesema kuwa anahisi kwamba uongozi wake katika kanisa hilo hautaendelea kwa kipindi kirefu. Amesema kuwa hatua ya Benedict kujiuzulu mwaka 2013 ni ya ujasiri na haifai kuchukuliwa kama ya...

Friday, 13 March 2015

Kesi ya rais wa Kenya yafungwa rasmi Mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita ICC imefunga kesi yake dhidi ya rais wa Kenya Uhuru Kenyatta . Alikuwa ameshtakiwa na uhalifu dhidi ya binaadamu kufuatia ghasia zilizojiri baada ya uchaguzi wa mwaka 200...

Wanawake wanaovaa nguo nyekundu huvutia Zaidii!!!

Wanawake wanaovalia mavazi ya rangi nyekundu,huwavutia sana wanaume ikilinganishwa na wale wanaovaa mavazi ya rangi nyengine. Kulingana na utafiti huo rangi hiyo huvutia sana na pia huwashirikisha wanawake wanaobeba laptopu nyekundu. Steven G Young wa chuo kikuu cha mji wa New York,aliandika katika jarida la maadili ya kisosholojia kuwa Ushahidi wa hivi karibuni unadai kwamba rangi husaidia katika kuwakutanisha watu wawili wanaopendana. Pia ameongeza...

Idadi ya mimba za utotoni yaongezeka..!!!!!

Msichana mmoja kati ya wanne wenye umri wa miaka 15 hadi 19 ni mjamzito au ana mtoto imeelezwa. Idadi hii inawakilisha maisha halisi na kuonesha kwamba kama jitihada za makusudi hazitachukuliwa, wasichana wataendelea kukosa haki zao za msingi na kuzidi kuwa wategemezi. Hayo yalisema na mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akifungua mkutano wa kimataifa wa utafiti katika ukunga, ulioandaliwa na LUGINA Afrika Midwives Research Network (LAMRN)...

Mtoto akatwa uume kimakosa akitahiriwa...

Mtoto aitwaye Badru Muhidin mwenye umri wa miaka miwili, amepata pigo kubwa baada ya kukatwa uume wake kimakosa na babu yake aliyekuwa amempeleka kutahiriwa kienyeji huko Mbagala jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita. Mama mzazi wa mtoto huyo Mwajuma Hussein ambaye ni mkazi wa Yombo jijini Dar, amesema aliishi na mwanaye peke yake bila baba yake kwani walitengana Juni mwaka jana baada ya kuishi bila kufunga ndoa kwa muda mrefu, lakini...