Wanawake wanaovalia mavazi ya rangi nyekundu,huwavutia sana wanaume ikilinganishwa na wale wanaovaa mavazi ya rangi nyengine. Kulingana na utafiti huo rangi hiyo huvutia sana na pia huwashirikisha wanawake wanaobeba laptopu nyekundu. Steven G Young wa chuo kikuu cha mji wa New York,aliandika katika jarida la maadili ya kisosholojia kuwa Ushahidi wa hivi karibuni unadai kwamba rangi husaidia katika kuwakutanisha watu wawili wanaopendana. Pia ameongeza kuwa raha inayopatikana miongoni mwa wanawake wakati wa tendo la ngono, hushirikishwa na wekundu wa mashavu,shingo na kifua. Wanawake wengi hupendelea kuvaa mavazi ya rangi nyekundu wakati wanapojiandaa kukutana na wanaume wanaowavutia. Ukilinganisha na rangi nyengine wanawake wanaovalia mavazi ya rangi nyekundu huvutia sana.
Britam Tanzania Yawekeza Katika Miradi ya Maji na Upandaji Miti Kwenye
Shule Mbili za Msingi
-
Britam Insurance Limited (Tanzania) imewekeza TZS milioni 40 katika mradi
wa maji safi unaolenga shule mbili za msingi jijini Dar es Salaam, ikiwa ni
se...
1 hour ago







0 comments:
Post a Comment