Thamani ya shilingi ya Tanzania imeelezwa
kuanguka kwa kiasi cha asilimia 7.9, hali ambayo imeelezwa kuchangiwa na
sababu za kiuchumi za ndani na nje ya nchi.
Dr Joseph massawe mkurugenzi wa utafiti wa uchumi na sera katika bank ya tanzania kuhusiana na sababu za kuporomoka kwa thamani ya shilingi,msike hapa chini.
MAFUTA NA GESI NI NGUZO YA UCHUMI WA TAIFA
-
*Sekta ya mafuta na gesi kama nguzo ya maendeleo ya Taifa*
Na Rashid Mtagaluka.
Tarehe 14 Novemba 2025, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe....
0 comments:
Post a Comment