Raia mmoja wa Marekani anayefanya kazi katika mataifa ya milki za kiarabu UAE, amekamatwa kwa matamshi aliyochapisha katika mtandao wake wa facebook na sasa anakabiliwa na hukumu ya kufungwa jela. Ryan Pate ambaye ni fundi wa ndege,alikuwa katika likizo ya kujiuguza nyumbani kwake katika jimbo la Florida nchini Marekani wakati alipomkosoa mwajiri wake. Aliita kampuni hiyo kama yenye ''wasaliti na kutoa matamshi ya kibaguzi dhidi ya watu wa mataifa ya milki hiyo. Wakati alipokuwa akirudi alikamatwa kwa kukiuka sheria kali za taifa hilo kuhusu matamshi ya kashfa. Iwapo atapatikana na hatia huenda akahudumia kifungo cha hadi miaka mitano jela.
DYSLEXIA TANZANIA YAANDAA MBIO KUHAMASISHA UELEWA KUHUSU WATOTO WENYE
CHANGAMOTO ZA KUJIFUNZA
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Shirika lisilo la kiserikali Dyslexia Tanzania limeandaa mbio maalumu
zijulikanazo kama “Dyslexia Awareness Run”, zenye lengo la ...
5 hours ago
0 comments:
Post a Comment