Matukio ya watumishi wa Mungu kukutwa na skendo za udhalilishaji imekua ikitokea, kama ikitokea huwa inakuwa stori ambayo watu wengi wanazipa uzito zaidi kutokana na kwamba inajuwa ishu ambayo inahusisha watumishi wa nyumba za ibada. Kutoka Nigeria chukua hii story Mchungaji mmoja kaamua kumpa mke wake talaka kutokana na kugundua kuwa mke wake ana uhusiano na mchungaji mwenzake ambaye ni rafiki yake wa karibu pia. Mchungaji Jack aliiambia Mahakama ya Lagos, Nigeria kwamba mkewe Kate,aligundulika kuwa na uhusiano na mchungaji huyo baada ya kuihama nyumba yake tangu mwaka 2011 na hajawahi kurudi tena. Hata hivyo Kate hakuweza kuhudhuria Mahakamani hapo kusikiliza kesi hiyo,hivyo kesi ikaahirishwa hadi March 23 itakaposikilizwa tena Mahakamani hapo.
WAZIRI AWESO ATANGAZA KUMALIZIKA KWA CHANGAMOTO YA MAJI DAR
-
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso, ameziagiza Mamlaka ya Maji Safi na Usafi
wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kuwasha mitambo yote ili kuondoa mgao
...
37 minutes ago







0 comments:
Post a Comment